Saturday, 13 July 2019

NAFASI ZA KAZI KATIKA OFISI YA KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA-ZANZIBAR

Image result for tangazo la kazi smz
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Ofisi ya Kamisheni ya Utumishi wa Umma kama ifuatavyo:-

1. Afisa Rasilimali Watu Daraja la II “Nafasi 6”
Sifa za Waombaji:
• Awe ni Mzanzibari.
• Awe amehitimu Shahada ya Kwanza …

No comments:

Post a Comment